Mwanafunzi husoma bila malipo na kwa njia ya mtandao kwa muda wa mwaka mmoja, akisoma masomo 12 ya Kiislamu yaliyogawanywa katika mihula miwili ya masomo. Mwisho wa masomo, endapo atafaulu masomo yote, atastahiki cheti kinachotambuliwa rasmi kutoka Africa Academy.
Hizi ni kozi fupi, za bure na za mtandaoni katika mada za Kiislamu na kiutamaduni zinazowahusu Waislamu wote. Kozi hizi zinapatikana muda wote wa mwaka, na mwishoni mwa kila kozi kuna mtihani, endapo mwanafunzi akifaulu, hupata cheti cha kozi
" Njia za kozi moja moja na rahisi kitu kilichorahisisha kufahamu elimu ya kisheria na kutoa motisha kwa vyeti vilivyo mnasibu. Allah awawafiqishe, na awalipe kheri".
Makkah Nuru Mwanafunzi wa Africa Academy
5/5
"Kwa muda mchache nimepata faida kubwa na nimeongezo maarifa mengi ya kuhusu dini "
Sada Said Mwanafunzi wa Africa Academy
5/5
" Enyi ndugu zangu mimi ni mwenye furaha sana sababu kozi hizi zinatuhamasisha na kutusaidia kujifunza elimu na tunatumia dalili kwa elimu kwa wakati munasibu."